DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES

DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES
P.O BOX 40015, TANZANIA EAST AFRICA NAFASI ZA MASOMO YA HOTEL, TOURISM& BUSINESS CERTIFICATE AND DIPLOMA COURSE IN 1. Hotel Reception and front office 2. Food science and Beverage services 3. Tourism and Travel studies 4. Hotel House keeping 5. Food Production Cooking and Bakery 6. Clearing and forwarding 7. Computer studies and Maintenance 8. Accounting 9. Business Administration 10. Procurement & Supply 11. Human Resource Chuo kimesajiliwa NACTE Reg No (BMG/054P) KwaMawasilianozaidi: 0713-601763, 0755-823449, 0789-0447442, 0767-929110

NAFASI ZA MASOMO YA UALIMU...

CHUO CHA UALIMU WEST DAR  ES SALAAM

KIMESAJILIWA KWA Na. CU 83
KINATANGAZA NAFASI ZA MASOMO KATIKA
NGAZI ZIFUATAZO
1.     UALIMU DARAJA LA III A
SIFA:              Awe amemaliza kidato cha nne sio zaidi ya miaka mitano tangu alipomaliza kidato cha nne.
MUDA:          Miaka miwili (2) tu.
ADA:              Ni nafuu sana kwa wanachuo wa bweni na kutwa (nafasi za bweni zipo).
                        Serikali inatoa ajira kwa wahitimu wote.

2.     UALIMU WA ELIMU YA AWALI (NURSERY).
SIFA:              Awe amemaliza kidato cha nne na kupata japo leaving certificate mwaka wowote.
MUDA:          Mwaka mmoja (1) tu.
ADA:              Ni nafuu kwa wanachuo wa bweni na kutwa (nafasi za bweni zipo).
                        Chuo kinakusaidia kupata ajira.
3.     DIPLOMA YA UALIMU ELIMU YA AWALI, SHULE ZA MSINGI
SIFA:             Awe amemaliza kidato cha nne na kuwa pass nne (D nne) na kuendelea.
MUDA:         Miaka mitatu (3)
CHUO KIPO GONGO LA MBOTO – MAJOHE RADA
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NAMBA ZIFUATAZO:-
0713 601763, 0718 049436, 0682 397099, 0766 191969, 0754 857511, 0784 522396