DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES

DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES
P.O BOX 40015, TANZANIA EAST AFRICA NAFASI ZA MASOMO YA HOTEL, TOURISM& BUSINESS CERTIFICATE AND DIPLOMA COURSE IN 1. Hotel Reception and front office 2. Food science and Beverage services 3. Tourism and Travel studies 4. Hotel House keeping 5. Food Production Cooking and Bakery 6. Clearing and forwarding 7. Computer studies and Maintenance 8. Accounting 9. Business Administration 10. Procurement & Supply 11. Human Resource Chuo kimesajiliwa NACTE Reg No (BMG/054P) KwaMawasilianozaidi: 0713-601763, 0755-823449, 0789-0447442, 0767-929110

PICHA:HAWA NI WANAWAKE 9 AMBAO WAMEWAI KUWA KWENYE MAPENZI NA LIL WAYNE




Hivi sasa Weezy yupo kwenye headline kwa tetesi zinasema kwamba yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii Christina Millian. Sasa watu wengi wamependa kujua historia ya kimapenzi ya hawa wawili.
Kwa upande wa historia ya mahusiano ya Lil Wayne hawa ndio wanawake 9 aliwahi kuhusika nao kimahusiano waziwazi na wengine zilibaki kuwa tetesi.


Adrienne Bosh alikuwa na mahusiano na Lil Wayne kabla hajaolewa na mcheza kikapu Chris Bosh

Huyu ni video model Karrine Steffans ambaye alikuwa na mahusiano ya wazi kabisa na Lil Wayne

Actress Megan Good alikuwa kwenye mahusiano na Weezy kwa muda wa miaka 3

Kwa mcheza kikapu Skyler Diggins zilikuwa ni tetesi kwamba ana uhusiano na Lil Wayne

Rapper Trina aliwakuwa na uhusiano na Weezy hadi aliwahi kupata ujauzito wake lakini bahati mbaya ujauzito uliharibika.

Uhusiano wa Lil Wayne na muigizaji Lauren London ulileta matunda ya mtoto Cameron Carter

Lil Wayne alivisha hadi pete Nivea mwaka 2002.

Huyu ni mama wa mtoto wa kwanza wa Wayne anaitwa Reginae 


Hivi sasa tetesi zipo kati ya Wayne na Christina Milian