DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES

DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES
P.O BOX 40015, TANZANIA EAST AFRICA NAFASI ZA MASOMO YA HOTEL, TOURISM& BUSINESS CERTIFICATE AND DIPLOMA COURSE IN 1. Hotel Reception and front office 2. Food science and Beverage services 3. Tourism and Travel studies 4. Hotel House keeping 5. Food Production Cooking and Bakery 6. Clearing and forwarding 7. Computer studies and Maintenance 8. Accounting 9. Business Administration 10. Procurement & Supply 11. Human Resource Chuo kimesajiliwa NACTE Reg No (BMG/054P) KwaMawasilianozaidi: 0713-601763, 0755-823449, 0789-0447442, 0767-929110

AY meza moja na Obama


Ambwene Yesaya ‘AY’NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ambwene Yesaya ‘AY’ ni miongoni mwa wasanii wa Afrika walioalikwa na Rais Barrack Obama wa Marekani kutembelea Ikulu
ya nchi hiyo (White House) kwa mkutano.
Obama amewakaribisha wasanii hao kutoka Afrika katika mkutano mkubwa na viongozi mbalimbali wakuu wa nchi za Afrika, ulioanza jana na kudumu kwa siku tatu.
Kwa mujibu wa AY kupitia ukurasa wake wa facebook, wasanii wengine ambao wapo katika ziara hiyo ni Femi Kuti na D’Banji wa Nigeria, Fally Ipupa wa Congo DRC, Victoria Kimani wa Kenya na mchezaji wa Manchester City ya England, Yaya Toure ambaye ni raia wa Ivory Coast