Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasema kwamba, Kristo ni mtu anayethubutu kutoa kile alichokirimiwa na Mwenyezi Mungu. Maisha ya Kristo yanapaswa kusheheni matendo makuu ya ukarimu kwa jirani unaotekelezwa kwa si kwa kupiga matarumbeta, bali katika hali ya usiri, ili yaonekane na Mwenyezi Mungu ambaye yuko sirini.
DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES

P.O BOX 40015, TANZANIA EAST AFRICA NAFASI ZA MASOMO YA HOTEL, TOURISM& BUSINESS CERTIFICATE AND DIPLOMA COURSE IN 1. Hotel Reception and front office 2. Food science and Beverage services 3. Tourism and Travel studies 4. Hotel House keeping 5. Food Production Cooking and Bakery 6. Clearing and forwarding 7. Computer studies and Maintenance 8. Accounting 9. Business Administration 10. Procurement & Supply 11. Human Resource Chuo kimesajiliwa NACTE Reg No (BMG/054P) KwaMawasilianozaidi: 0713-601763, 0755-823449, 0789-0447442, 0767-929110
Mkristo ni mtu anayethubutu kutoa!
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasema kwamba, Kristo ni mtu anayethubutu kutoa kile alichokirimiwa na Mwenyezi Mungu. Maisha ya Kristo yanapaswa kusheheni matendo makuu ya ukarimu kwa jirani unaotekelezwa kwa si kwa kupiga matarumbeta, bali katika hali ya usiri, ili yaonekane na Mwenyezi Mungu ambaye yuko sirini.