DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES

DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES
P.O BOX 40015, TANZANIA EAST AFRICA NAFASI ZA MASOMO YA HOTEL, TOURISM& BUSINESS CERTIFICATE AND DIPLOMA COURSE IN 1. Hotel Reception and front office 2. Food science and Beverage services 3. Tourism and Travel studies 4. Hotel House keeping 5. Food Production Cooking and Bakery 6. Clearing and forwarding 7. Computer studies and Maintenance 8. Accounting 9. Business Administration 10. Procurement & Supply 11. Human Resource Chuo kimesajiliwa NACTE Reg No (BMG/054P) KwaMawasilianozaidi: 0713-601763, 0755-823449, 0789-0447442, 0767-929110

SALAMU KWA MASHABIKI WA BATAROKOTA NAIROBI



Msanii wa bongo fleva mkali wa kurap kwa lugha asili ya Tanzania, Batarokota Nsumbantale, amesema kwa sasa yupo katika maandalizi ya mwisho kuelekea uzinduzi wa songi ‘Ilombo lise’ utakaofanyika Agosti 3, jijini Nairobi nchini Kenya.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Batarokota alisema amelazimika kufanya hivyo akitambua kiu ya wadau, wapenzi na mashabiki wake kutaka kuona vitu vya tofauti siku hiyo katika Ukumbi Brookrine uliopo Gethorai 44 , Nairobi nchini Kenya.
Alisema kwa mazoezi anayofanya, anaamini moto ambao atauwasha siku hiyo, utakuwa kama salamu kwa wapenzi na mashabiki wake.Msanii Batarokota ambae mwaka huu wimbo wake wa kwejanga Nyangisha uliingia katika tuzo za Kilimanjari Tanzania Music Awards 2014 katika kategori ya `Wimbo bora wenye vionji vya asili ya kitanzania` na akuweka kufanikiwa kupata Tuzo. Msanii Batarokota hii ni ziara yake ya pili mwaka 2014 kufanya show Nairobi nchini Kenya. pia waweza kupata nyimbo wa msanii Batarokota kupitia tovuti ya Mkito.com https://mkito.com/song/kwajaga-nyangisha/550