DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES

DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES
P.O BOX 40015, TANZANIA EAST AFRICA NAFASI ZA MASOMO YA HOTEL, TOURISM& BUSINESS CERTIFICATE AND DIPLOMA COURSE IN 1. Hotel Reception and front office 2. Food science and Beverage services 3. Tourism and Travel studies 4. Hotel House keeping 5. Food Production Cooking and Bakery 6. Clearing and forwarding 7. Computer studies and Maintenance 8. Accounting 9. Business Administration 10. Procurement & Supply 11. Human Resource Chuo kimesajiliwa NACTE Reg No (BMG/054P) KwaMawasilianozaidi: 0713-601763, 0755-823449, 0789-0447442, 0767-929110

SARAH BAGUMHE AMALIZA KUREKODI VIDEO


Msanii wa Nyimbo za injili nchini Tanzania, Sarah Bagumhe ambae kwa sasa anatamba sana hapa Afrika Mashariki na wimbo wa Ni vizuri kumshukuru Mungu.Msanii Sarah Bagumhe jana alimaliza kufanya rekodi video ya nyimbo zake nane zikiwemo Ni vizuri kumshukuru Mungu ambayo inabeba albamu, ufanane na nani ?, Mwoyo gwange, nena rohoni, nipe maji, tulina omukwano, nipe nguvu na tupapoomba. Video ya nyimbo zote imefanywa na kampuni ya GTC media kutoka Kisumu nchini Kenya.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Sarah Bagumhe alisema `kwanza namshukuru Mungu kwa kumaliza mwanzo wa kazi hii pia na wote walio nisaidia kufika mpaka hapa,pia naomba sana wapenzi wa injili wasubirie kwa hamu video ya  Ni vizuri kumshukuru Mungu, ambayo itakuwa ni nzuri kuliko na inatarajia kuwa hewani mwezi ujao` alisema.


Msanii Sarah Bagumhe anaishi kwa sasa jijini Mwanza, hii ni albamu yake ya kwanza ambayo anatarajia itoke hivi karibuni katika uzinduzi utakao fanywa jijini Mwanza.